Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 2:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umenijulisha njia za uzima; Utanijaza furaha kwa uso wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umenionesha njia za uhai, umenijaza furaha kwa kuwako kwako!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umenionesha njia za uhai, umenijaza furaha kwa kuwako kwako!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umenionesha njia za uhai, umenijaza furaha kwa kuwako kwako!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umenionesha njia za uzima, utanijaza na furaha mbele zako.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umenionyesha njia za uzima, utanijaza na furaha mbele zako.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umenijulisha njia za uzima; Utanijaza furaha kwa uso wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 2:28
14 Marejeleo ya Msalaba  

Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Alikuomba uhai, ukampa, Muda mrefu wa siku nyingi, milele na milele.


Maana umemfanya kuwa baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako.


Ee BWANA, unijulishe njia zako, Unifundishe mapito yako,


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.


Wanaume, ndugu zangu, mniwie radhi, niseme kwa ujasiri mbele yenu habari za baba yetu mkuu, Daudi, ya kuwa alifariki akazikwa, na kaburi lake liko kwetu hata leo.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.