Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 19:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikiwa kuna mambo mengine yoyote mnayotaka kujua, ni sharti yasuluhishwe katika kusanyiko lililo halali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama kuna jambo jingine lolote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe katika kusanyiko halali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama kuna jambo jingine lolote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe katika kusanyiko halali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikiwa kuna mambo mengine yoyote mnayotaka kujua, ni sharti yasuluhishwe katika kusanyiko lililo halali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 19:39
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ikiwa Demetrio na mafundi walio pamoja naye wana neno juu ya mtu yeyote, baraza ziko, na watawala wako; na washitakiane.


Kwa maana tuna hatari ya kushitakiwa kwa ajili ya ghasia hizi za leo, ambazo hazina sababu; maana hakuna sababu tunayoweza kutoa kama chanzo cha ghasia hizi.