Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 19:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Paulo alipotaka kuingia kati ya watu, wanafunzi hawakumwacha aingie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Paulo akataka kuingia katikati ya umati, lakini wanafunzi hawakumruhusu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Paulo akataka kuingia katikati ya umati huo, lakini wanafunzi hawakumruhusu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Paulo alipotaka kuingia kati ya watu, wanafunzi hawakumwacha aingie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 19:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Abishai, mwana wa Seruya, akamsaidia, akampiga Mfilisti, akamwua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakasema, Wewe hutatoka tena pamoja nasi kwenda vitani, usije ukaizima taa ya Israeli.


Na baadhi ya wakuu wa Asia, walio rafiki zake, wakatuma watu kwake, wakimsihi asiingie ndani katika ukumbi wa michezo.


Lakini wengine walikaidi, wakakataa kuamini, wakiitukana ile Njia mbele ya mkutano; basi, akaondoka akawaacha, akawatenga wanafunzi, akahojiana na watu kila siku katika darasa la mtu mmoja, jina lake Tirano.


Paulo akasema, Mimi ni mtu wa Kiyahudi, mtu wa Tarso, mji wa Kilikia, mwenyeji wa mji usiokuwa mnyonge. Nakuomba, nipe ruhusa niseme na wenyeji hawa.