Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 19:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo neno la Bwana Isa likaenea sana na kuwa na nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo neno la Bwana Isa likaenea sana na kuwa na nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 19:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.


Neno la Bwana likazidi na kuenea.


Ndipo yule mtawala, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini, akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hata wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wagiriki.


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa kote kama ilivyo kwenu;