Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 18:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawafukuza kutoka mahakamani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 18:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Nchi ikamsaidia mwanamke; nchi ikafunua kinywa chake, ikaumeza mto ule lililoutoa lile joka katika kinywa chake.