Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wakisema Mtu huyu huwashawishi watu ili wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na sheria.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamshtaki wakisema, “Mtu huyu anawashawishi watu wamwabudu Mwenyezi Mungu kinyume cha sheria.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema Mtu huyu huwashawishi watu ili wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 18:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


bali ikiwa ni hoja juu ya maneno na majina na sheria yenu, liangalieni ninyi wenyewe, maana mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo hayo.


Akatoa hoja zake katika sinagogi kila sabato, akajaribu kuwavuta Wayahudi na Wagiriki.


wakapiga kelele, na kusema, Enyi wanaume wa Israeli, tusaidieni. Huyu ndiye mtu yule afundishaye watu wote kila mahali kinyume cha taifa letu na torati na mahali hapa. Tena, zaidi ya haya, amewaingiza Wagiriki katika hekalu, akapatia unajisi mahali hapa patakatifu.


Paulo akasema akijitetea, Mimi sikukosa neno juu ya sheria ya Wayahudi, wala juu ya hekalu, wala juu ya Kaisari.


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;