Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 18:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akakaa huko muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha kati yao neno la Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, akiwafundisha Maandiko ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, akiwafundisha neno la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akakaa huko muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha kati yao neno la Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 18:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakakaa huko wakati mwingi, wakinena kwa ushujaa katika Bwana, aliyelishuhudia neno la neema yake, akiwajalia ishara na maajabu yatendeke kwa mikono yao.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu.


Hata Galio alipokuwa mtawala wa Akaya, Wayahudi wakamwinukia Paulo kwa nia moja, wakamleta mbele ya kiti cha hukumu,


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hata wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wagiriki.


Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.