Siku zile akasimama Petro kati ya hao ndugu (jumla ya majina ilikuwa mia moja na ishirini), akasema,
Matendo 16:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mtu huyo alishuhudiwa vema na ndugu waliokaa Listra na Ikonio. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio. Biblia Habari Njema - BHND Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio. Neno: Bibilia Takatifu Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio Neno: Maandiko Matakatifu Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio BIBLIA KISWAHILI Mtu huyo alishuhudiwa vema na ndugu waliokaa Listra na Ikonio. |
Siku zile akasimama Petro kati ya hao ndugu (jumla ya majina ilikuwa mia moja na ishirini), akasema,
Ikawa huko Ikonio wakaingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi; na kwa vile walivyonena, kundi kubwa la Wayahudi na la Wagiriki wakaamini.
Hata walipokwisha kuihubiri Injili katika mji ule, na kupata wanafunzi wengi, wakarejea mpaka Listra na Ikonio na Antiokia,
wao wakapata habari wakakimbilia Listra na Derbe, miji ya Likaonia, na nchi zilizo kandokando;
Nao wakatoka gerezani wakaingia nyumbani mwa Lidia; na walipokwisha kuonana na ndugu wakawafariji, wakaenda zao.
Basi ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, walioshuhudiwa kuwa wema, wenye kujawa na Roho, na hekima, ili tuwaweke juu ya jambo hili;
Ila mwajua sifa yake, ya kuwa ametumika pamoja nami kwa ajili ya Injili, kama mwana na baba yake.
Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.
na awe ameshuhudiwa kwa matendo mema; katika kulea watoto, kuwa mkaribishaji, kuwaosha watakatifu miguu, kuwasaidia wateswao, na kujitolea kutenda wema katika hali zote.
Vivyo hivyo matendo yaliyo mazuri yako dhahiri; wala yale yasiyo dhahiri hayawezi kusitirika.
na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.
na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.