Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 15:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

watu waliohatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

watu ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

watu waliohatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 15:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake watauwa wenye cheo na wakuu wa mji, wakawataharakisha watu wawaudhi Paulo na Barnaba; wakawatoa katika mipaka yao.


Lakini Wayahudi wakafika toka Antiokia na Ikonio, wakawashawishi makutano hata wakampiga kwa mawe Paulo, wakamburuta nje ya mji, wakidhania ya kuwa amekwisha kufa.


waliokuwa tayari hata kukatwa kichwa kwa ajili ya maisha yangu; ambao ninawashukuru, wala si mimi tu, ila na makanisa ya Mataifa yote pia; nisalimieni na kanisa lililomo katika nyumba yao.


Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?


Zabuloni ndio watu waliohatarisha roho zao hadi kufa; Nao Naftali mahali palipoinuka kondeni.