Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 15:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na maneno ya manabii yapatana na hayo, kama ilivyoandikwa,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno ya manabii yanakubaliana na jambo hili, kama ilivyoandikwa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na maneno ya manabii yapatana na hayo, kama ilivyoandikwa,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 15:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, basi, isiwajie habari ile iliyonenwa katika manabii.


Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.


Baada ya mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;