Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 14:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wakakaa huko, wakiihubiri Injili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huko wakaendelea kuhubiri Injili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huko wakaendelea kuhubiri habari njema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakakaa huko, wakiihubiri Injili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 14:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile dhiki iliyotukia kwa habari ya Stefano, wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia, wasilihubiri lile neno ila kwa Wayahudi peke yao.


wakisema, Akina bwana, mbona mnafanya haya? Sisi nasi tu wanadamu hali moja na ninyi; tunawahubiria Habari Njema, ili mgeuke na kuyaacha mambo haya ya ubatili na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo;


Hata walipokwisha kuihubiri Injili katika mji ule, na kupata wanafunzi wengi, wakarejea mpaka Listra na Ikonio na Antiokia,


Basi alipokwisha kuyaona yale maono, mara tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Mungu ametuita tuwahubirie Habari Njema.


Na Paulo, kama ilivyokuwa desturi yake, akaingia mle walimokuwa, akahojiana nao kwa maneno ya Maandiko sabato tatu,


Lakini wale waliotawanyika wakaenda huku na huko wakilihubiri neno.


ingawa tuliteswa na kutukanwa, katika Filipi kama mjuavyo, tulithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.