Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 14:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakateremka mpaka Atalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakateremka mpaka Atalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 14:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakakusanyika watu wengi, isibaki nafasi hata mlangoni; akawa akisema nao neno lake.


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Kisha Paulo na wenziwe wakang'oa nanga wakasafiri kutoka Pafo, wakafika Perge katika Pamfilia. Yohana akawaacha akarejea Yerusalemu.


kwa nguvu za ishara na maajabu, katika nguvu za Roho Mtakatifu; hata ikawa tangu Yerusalemu, na kandokando yake, mpaka Iliriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa utimilifu;