Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 14:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ambaye zamani zilizopita aliwaacha mataifa yote waende katika njia zao wenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ambaye zamani zilizopita aliwaacha mataifa yote waende katika njia zao wenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 14:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hakulitendea taifa lolote mambo kama hayo, Wala hukumu zake hawakuzijua. Haleluya.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.


Kwa maana mataifa yote watakwenda, kila moja kwa jina la mungu wake, na sisi tutakwenda kwa jina la BWANA, Mungu wetu, milele na milele.


Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aoneshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zilizotangulia kufanywa;


kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.


Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuishi katika uzinzi, tamaa, ulevi, na karamu za kula na kunywa vileo kupindukia, na ibada haramu ya sanamu;