Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 13:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Bwana likaenea katika eneo lile lote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la Bwana Isa likaenea katika eneo lile lote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 13:49
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.


Neno la Bwana likazidi na kuenea.


Ndipo yule mtawala, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini, akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hata wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wagiriki.


Tena mnaona na kusikia ya kwamba si katika Efeso tu, bali katika Asia yote pia Paulo huyo ameshawishi watu wengi na kuwageuza nia zao, akisema ya kwamba hiyo inayofanywa kwa mikono siyo miungu.


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.