Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 13:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 13:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mungu akamfufua katika wafu;


ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.


ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.