Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 13:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naam, na katika sehemu nyingine za Zaburi asema: ‘Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 13:35
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hutaitupa kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.


ndipo aishi milele asilione kaburi.


Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti, Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?


Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.


Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu.