Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kulipopambazuka askari wakaingiwa na fadhaa juu ya yaliyompata Petro.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kulipopambazuka askari wakaingiwa na fadhaa juu ya yaliyompata Petro.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 12:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, aliwahoji wale walinzi, akaamuru wauawe. Kisha akateremka kutoka Yudea kwenda Kaisaria, akakaa huko.


Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.


Wakati huo kukatokea ghasia si haba kuhusu Njia ile.