Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 11:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sauti ikanijibu mara ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mwenyezi Mungu alichokitakasa.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauti ikanijibu mara ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 11:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.


Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.


Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali kwa mtu aliye Myahudi ashirikiane na mtu wa taifa lingine wala kumtembelea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu yeyote mchafu wala najisi.


Jambo hili likatendeka mara tatu, kisha vitu vyote vikavutwa tena juu mbinguni.


Nikasema, Hasha, Bwana, kwa maana kitu kilicho kichafu au kilicho najisi hakijawahi kuingia kinywani mwangu.


wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.