Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 10:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 10:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Wakati Petro alipokuwa akisumbuka ndani ya nafsi yake, juu ya maana ya maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakatokeza. Walikuwa kukiulizia nyumba ya Simoni, wakiwa wamesimama mbele ya lango,


Mara nikatuma watu kwako, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tupo hapa mbele za Mungu, tupate kuyasikiliza maneno yote uliyoamriwa na Bwana.


Na yule malaika aliyesema naye akiisha kuondoka, Kornelio akawaita watumishi wake wawili wa nyumbani, na askari mmoja, mtu mtauwa kati ya wale waliomhudumia daima;


Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,


Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.


Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi waliosikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Njoo kwetu pasipo kukawia.


Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.


Basi Petro akakaa siku kadhaa huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.


alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubirie Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;