Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 10:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi inuka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi inuka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 10:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo, mimi nipo; na sasa Bwana MUNGU amenituma, na roho yake.


Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.


Petro akawashukia wale watu, akanena, Mimi ndiye mnayemtafuta. Mmekuja kwa sababu gani?


Roho akaniambia nifuatane nao, nisione tashwishi. Ndugu hawa sita nao wakaenda pamoja nami, tukaingia katika nyumba ya mtu yule;


Basi watu hao, walipotumwa hadi Kipro na Roho Mtakatifu wakateremkia Seleukia, na kutoka huko wakasafiri baharini hata Kipro.


Malaika wa Bwana akasema na Filipo, akamwambia, Ondoka ukaende upande wa kusini hata njia ile iteremkayo kutoka Yerusalemu kwenda Gaza; nayo ni jangwa.


Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku.