Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Isa kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza wakiwa peke yao, “Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo mchafu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Isa kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza wakiwa peke yao, “Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo mchafu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo.


Akaingia Kapernaumu tena, baada ya siku kadhaa, ikasikiwa ya kwamba yumo nyumbani.


Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu ule mfano.


Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.


Akawaambia, Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lolote, isipokuwa kwa kuomba.