Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawachagua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, ili wapate kuwa naye, na awatume kwenda kuhubiri

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawachagua kumi na wawili, ambao aliwaita mitume, ili wapate kuwa pamoja naye, na awatume kwenda kuhubiri

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akapanda mlimani, akawaita aliowataka mwenyewe; wakamwendea.


tena wawe na mamlaka ya kutoa pepo.


Na mitume wakakusanyika mbele ya Yesu; wakampa habari za mambo yote waliyoyafanya, na mambo yote waliyoyafundisha.


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Paulo, mtume, (si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu),