Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Isa mkononi mwake kwa ajili ya wivu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Isa mikononi mwake kwa ajili ya wivu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa ajili ya husuda.


Lakini wakuu wa makuhani wakawachochea watu, kuwa afadhali awafungulie Baraba.


Pilato akawajibu, akisema, Je! Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?


Bali Wayahudi, walipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayakanusha maneno yaliyonenwa na Paulo, wakibisha na kutukana.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?


si kama Kaini alivyokuwa wa yule mwovu, akamwua ndugu yake. Naye alimwua kwa sababu gani? Kwa sababu matendo yake yalikuwa mabaya, na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.