Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:66 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Petro alikuwa chini behewani; akaja mmoja wa vijakazi wa Kuhani Mkuu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro alipokuwa bado chini uani, mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu alikuja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro alipokuwa bado chini uani, mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu alikuja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro alipokuwa bado chini uani, mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu alikuja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro alipokuwa bado yuko chini uani, tazama akaja mmoja wa wajakazi wa kuhani mkuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro alipokuwa bado yuko chini kwenye ua wa jumba la kifalme, tazama akaja mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Petro alikuwa chini behewani; akaja mmoja wa vijakazi wa Kuhani Mkuu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:66
8 Marejeleo ya Msalaba  

Husabu naye amefunuliwa, anachukuliwa, na wajakazi wake wanalia kama kwa sauti ya hua, wakipigapiga vifua vyao.


Wakati ule wakuu wa makuhani, na wazee wa watu, wakakusanyika katika behewa ya Kuhani Mkuu, jina lake Kayafa;


Na Petro akamfuata kwa mbali mpaka behewa ya Kuhani Mkuu, akaingia ndani, akaketi pamoja na watumishi, auone mwisho.


Naye Petro akamfuata kwa mbali, hadi ndani katika behewa ya Kuhani Mkuu; akawa ameketi pamoja na watumishi, akiota moto.