Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:52 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:52
5 Marejeleo ya Msalaba  

huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.


Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Na kijana mmoja alimfuata, akiwa amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata;


Nao wakamchukua Yesu kwa Kuhani Mkuu; wakamkusanyikia wote, wakuu wa makuhani na wazee na waandishi.