Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:47
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mambo haya mawili yamekupata; Ni nani awezaye kukusikitikia? Ukiwa na uharibifu, na njaa na upanga; Niwezeje kukutuliza?


Toka juu amepeleka moto mifupani mwangu, Nao umeishinda; Ametandika wavu aninase miguu, Amenirudisha nyuma; Amenifanya kuwa mtu wa pekee, Na mgonjwa mchana kutwa.


Njia za Sayuni zaomboleza, Kwa kuwa hakuna ajaye kwa sikukuu; Malango yake yote yamekuwa ukiwa, Makuhani wake hupiga kite; Wanawali wake wanahuzunika; Na yeye mwenyewe huona uchungu.


kwa kuwa ndivyo itakavyowajia watu wote wakaao juu ya uso wa dunia nzima.