Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Malaki 3:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi na taifa lenu lote mmelaaniwa kwa sababu ya kunidanganya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi na taifa lenu lote mmelaaniwa kwa sababu ya kunidanganya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi na taifa lenu lote mmelaaniwa kwa sababu ya kunidanganya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Malaki 3:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa patakatifu, nami nitamfanya Yakobo kuwalaani, na Israeli kuwa tukano.


Ndipo akaniambia, Hii ndiyo laana itokayo kwenda juu ya uso wa nchi yote; maana kwa hiyo kila aibaye atakatiwa mbali kama ilivyoandikwa upande, na kwa hiyo kila aapaye kwa uongo atakatiliwa mbali kama ilivyo andikwa upande wa pili.


Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema BWANA wa majeshi, basi nitawaleteeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.


Je! Huyo Akani mwana wa Zera hakukosa katika vile vitu vilivyowekwa wakfu, na hasira ikauangukia mkutano wote wa Israeli? Kisha mtu huyo hakuangamia peke yake katika uovu wake?