Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa katika kusali kwake sura ya uso wake ikageuka, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokuwa akisali, sura yake ilibadilika, mavazi yake yakawa meupe na kungaa sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokuwa akisali, sura yake ilibadilika, mavazi yake yakawa meupe na kungaa sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokuwa akisali, sura yake ilibadilika, mavazi yake yakawa meupe na kung'aa sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, nayo mavazi yake yakametameta kama miali ya radi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, nayo mavazi yake yakametameta kama mwanga wa umeme wa radi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa katika kusali kwake sura ya uso wake ikageuka, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:29
17 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yako yatamwona mfalme katika uzuri wake, yataona nchi iliyoenea sana.


Maana alikuwa mbele zake kama mche mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu; Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo hana uzuri hata tumtamani.


akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.


Baada ya hayo akawatokea wawili miongoni mwao, akiwa na sura nyingine; nao walikuwa wakitembea njiani kwenda mashambani.


Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba, mbingu zilifunuka;


Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


Ikawa alipokuwa akisali kwa faragha, wanafunzi wake walikuwapo pamoja naye, akawauliza, Je! Makutano hao wanasema ya kuwa mimi ni nani?


Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;


Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.