Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa wanaume waliokuwako walikuwa kama elfu tano. Akawaambia wanafunzi wake, Waketisheni watu kwa safu, kila safu watu hamsini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Walikuwepo wanaume wapatao elfu tano.) Isa akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika vikundi vya watu hamsini hamsini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walikuwako wanaume wapatao 5,000. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini hamsini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa wanaume waliokuwako walikuwa kama elfu tano. Akawaambia wanafunzi wake, Waketisheni watu kwa safu, kila safu watu hamsini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba, akashukuru, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawaandalie; wakawaandalia mkutano.


Akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakasema, Hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili, tusipokwenda tukawanunulie watu hawa wote vyakula.


Wakafanya hivyo, wakawaketisha wote.


Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.