Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa, nenda zako kwa amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa, nenda zako kwa amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:50
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe nenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.


Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.


Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti yangu; imani yako imekuponya. Yule mwanamke akapona tangu saa ile.


Yesu akamwambia, Nenda zako, imani yako imekuponya. Mara akapata kuona; akamfuata njiani.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani, uwe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Akamwambia, Inuka, nenda zako, imani yako imekuokoa.


Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.


Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.


Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


kwa kuwa binti yake yu karibu kufa, ambaye ni mwana pekee, umri wake amepata miaka kumi na miwili. Na alipokuwa akienda makutano walimsonga.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya; nenda zako na amani.


Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.