Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema: “ ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkulia.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema: “ ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkulia.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na wasichana, wakicheza katika njia zake.


Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?


Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, Ana pepo.