Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ninyi iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.


Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; sameheni, nanyi mtasamehewa.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.