Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 5:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Asubuhi panda mbegu zako, Wala jioni usiulegeze mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa, kama ni hii au hii, au kama zote zitafaa sawasawa.


wakawapungia mikono washiriki wenzao waliokuwa katika mashua nyingine, waje kuwasaidia; wakaja, wakazijaza mashua zote mbili, hata zikakaribia kuzama.


Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapatao elfu tatu.


Lakini wengi katika hao waliosikia lile neno waliamini; na hesabu ya wanaume ikawa kama elfu tano.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.