Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:52 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:52
11 Marejeleo ya Msalaba  

Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.


Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.


Nao daima walikuwa ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.


Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.


Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.


Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitamtuma kwenu.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,