Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

huku wakisema, Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi, ujiokoe mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakisema: “Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakisema: “Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakisema: “Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na wakamwambia, “Kama wewe ni mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na wakamwambia, “Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

huku wakisema, Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi, ujiokoe mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini.


Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.


Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.


Na mmoja wa wale wahalifu waliotungikwa alimtukana, akisema, Je! Wewe si Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.