Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:36
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.