Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:63 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waliokuwa wanamlinda Isa wakaanza kumdhihaki na kumpiga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waliokuwa wanamlinda Isa wakaanza kumdhihaki na kumpiga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:63
23 Marejeleo ya Msalaba  

Wananifumbulia vinywa vyao, Kama simba apapuraye na kunguruma.


Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.


BWANA, mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi yeye anayedharauliwa na wanadamu; yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona, watasimama; wakuu nao watasujudu; kwa sababu ya BWANA aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua.


Kama vile wengi walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote, na umbo lake zaidi ya wanadamu),


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo.


Akatoka nje akalia kwa majonzi.


Basi Kuhani Mkuu akamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake, na kuhusu mafundisho yake.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.