Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumwuliza swali tena tokea hapo.


Nao hawakuweza kujibu maneno haya.


Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;