Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:38
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.


Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;


Bado kitambo kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.


Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi.


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.


Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Lakini sasa wanaitamani nchi iliyo bora, yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni haya kuitwa Mungu wao; maana amewatengenezea mji.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,