Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwisho akafa yule mke naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwishowe akafa pia yule mwanamke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwishowe akafa pia yule mwanamke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwishowe akafa pia yule mwanamke.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwishowe, yule mwanamke naye akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwishowe, yule mwanamke naye akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwisho akafa yule mke naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.


kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.


hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto.


Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba.


Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;


Tena watu wote wa kizazi hicho nao walikusanywa waende kwa baba zao; kikainuka kizazi kingine nyuma yao, ambacho hakikumjua BWANA, wala hawakuijua hiyo kazi ambayo alikuwa ameitenda kwa ajili ya Israeli.