Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.


Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezana wao kwa wao. Naye BWANA akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake.


Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini.


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


Huyu alitokea saa ile ile akamshukuru Mungu, na wote waliokuwa wakiutarajia ukombozi katika Yerusalemu akawatolea habari zake.


Rudi nyumbani kwako, ukahubiri yalivyo makuu Mungu aliyokutendea. Akaenda zake, akihubiri katika mji wote, yalivyo makuu mambo aliyotendewa na Yesu.