Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akienda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.


Na alipokuwa amekaribia mteremko wa mlima wa Mizeituni, kundi zima la wanafunzi wake walianza kufurahi na kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya matendo yote ya uwezo waliyoyaona,