Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akapaza sauti, akasema, “Isa, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akapaza sauti, akasema, “Isa, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:38
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na fadhili ziko kwako, Ee Bwana; Maana ndiwe umlipaye kila mtu Kulingana na haki yake.


Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.


Tazama siku zinakuja, asema BWANA, nitakapomchipushia Daudi Chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme, atatenda kwa hekima, naye atafanya hukumu na haki katika nchi.


Makutano wote wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana wa Daudi?


Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Lakini wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto waliopaza sauti zao hekaluni, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi! Walikasirika,


Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Wakamwambia, Yesu wa Nazareti anapita.


Basi wale waliotangulia wakamkemea ili anyamaze; lakini yeye alizidi sana kupaza sauti, Ee Mwana wa Daudi, unirehemu.


yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili,


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.