Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kipofu huyo aliposikia umati wa watu wakipita, akauliza nini kilikuwa kikitendeka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kipofu huyo aliposikia umati wa watu ukipita, akauliza, “Kuna nini?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?


Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;


Wakamwambia, Yesu wa Nazareti anapita.