Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,


Kwa maana ni rahisi ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.