Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nisherehekee na rafiki zangu;


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Yesu aliposikia hayo alimwambia, Umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha, njoo unifuate.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.