Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 17:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akikukosea mara saba kwa siku moja, na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 17:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

La, kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike.


Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.


lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Mitume wakamwambia Bwana, Tuongezee imani.


Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.