Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:55 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kila ivumapo kaskazi, husema, Kutakuwa na joto; na ndivyo ilivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema ‘Kutakuwa na joto,’ na ndivyo inavyokuwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kila ivumapo kaskazi, husema, Kutakuwa na joto; na ndivyo ilivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:55
3 Marejeleo ya Msalaba  

Jinsi nguo zako zilivyo na moto, Hapo nchi ituliapo kwa sababu ya upepo wa kusini?


wakisema, Hao wa mwisho wamefanya kazi saa moja tu, nawe umewasawazisha na sisi tuliostahimili taabu na joto la mchana kutwa.


Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kulia;