Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu hadi ubatizo huo ukamilike!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:50
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam, sheria yako imo moyoni mwangu.


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Nimekuja kutupa moto duniani; na ukiwa umekwisha washwa, ni nini nitakalo zaidi?


Basi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga alani mwake; je! Kikombe alichonipa Baba, mimi nisikinywee?


Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


Hata ndugu zake walipokwisha kupanda kuiendea sikukuu, ndipo yeye naye alipopanda, si kwa wazi bali kana kwamba kwa siri.


Basi sasa, angalieni, nashika njia kwenda Yerusalemu nikiwa nimefungwa rohoni, nisiyajue mambo yatakayonikuta huko;