Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:28
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.


Akawajibu akasema, Mama yangu na ndugu zangu ni hao walisikiao neno la Mungu na kulifanya.


Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati uko karibu.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.